Jarida la SA  HIP HOP Ndilo limetoa orodha hiyo ya wasanii bora wa HIP HOP Afrika Mwaka 2015 ambayo imemjumuisha msanii wa HIP HOP Fareed Kubanda kutoka Tanzania.

Katika ukurasa wake wa twitter leo hii aliandika hivi:
''Kiukweli kama nimeweza kutusua kwenye hiyo top 20bila ya kuwa na video zao, sijui itakuae nikianza kuzitoa''

Orodha nzima iko hapa
1.AKA- Afrika kusini
2.Sarkodie-Ghana
3.Ice Prince-Nigeria
4.Cassper Nyovest-Afrika kusini
5.M.I.- Nigeria
6.K.O-Afrika kusini
7.Manfest-Ghana
8.K'naan-Somalia
9.Zues-Botswana
10.Phyno-Nigeria
11.Olamide-Nigeria
12.Dee Money-Ghana
13.Octopizzo-Kenya
14.Tumi-Afrika kusini
15.Stunner-Zimbabwe
16.Youssoupha-Congo
17.Dama Do Bling-Msumbiji
18.Fid Q-Tanzania
19.Cleo Ice Queen-Zambia
20.Cal Vin-Zimbabwe

Facebook Blogger Plugin by Dj Hunter
30 Jun 2015

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top