Haya tena wale wapenzi
wa teknolojia hasa gajeti,
leo Samsung wamezindua
flagship yao kutoka
familia ya Galaxy note
amabyo inakwenda kwa
jina la Samsung Galaxy
Note edge.Simu hii ina
kioo klichojikunja tofauti
na flat screen tulizozoea,
kwa sasa hii ndio highest
end phone kutoka
Samsung.
Note Edge ina sifa
zifuatazo, inaelekea
kufanana kiasi na ndugu
yake Note 4.
Yenyewe ina metallic
design, It has the same
soft-touch back, blissfully
without the fake stitching.
Ina kamera yenye 16-
megapixel, heart-rate
monitor, processor,
memory, software, Multi
Window feature, kila kitu
kama ndugu yake note 4.
Kwa sasa hii ndio simu
kutoka samsung yenye
nguvu kuliko simu zote.
Ina Quad HD, 2560 x
1440 display kama
kwenye Note 4, Ila hii
kioo chake ni kidogo
kidooogo ambayo ni inchi
5.6 tofauti na 5.7 ya note
4.
Post a Comment